MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA

 Bendi ya walemavu ikitumbuiza njimbo za injili
 Dj Aswile akifanya mambo yake
 mfanyakazi wa kampuni ya tigo akionyesha utalamu wake
 mdada akifanya mambo
 bendi ya watoto wa simba ya mjini arusha ikitumbuiza ,bendi hii ambayo kila jumamosi inapiga katika kiwanja cha bar ya sakina huku jumapili ikiwa matongee njiro
 Ndizi kutoka wialaya ya hai
unatakiwa kutumia kinywaji cha kvant kutoka Arusha

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post