WACHEZAJI WAPYA SIMBA

Vifaa vipya vya simba ,Paulo Ngalema  daniel kuffor wakimsikiliza kwa makini kocha wao (hayupo pichani wakati wa mapumziko kwenye mechi ya kirafiki na timu ya shule ya Sant Jude ambapo simba iliibugiza timu ya shule hiyo mabao 12 kwa 0
 Mchezaji mpya ,Daniel Kuffor kutoka nchini Ivory Coast akiwa kwenye mazoezi na timu yake ya Simba
.vifaa vipya vya timu ya soka ya  Simba wakiwa kwenye mazoezi katika  katika viwnja vya mpira cha shule ya St. Jude jijini Arusha,Kushoto Pasco Ochieng na Paulo Ngalema

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post