Ticker

6/recent/ticker-posts

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA

madaktari wa hospitali ya AICC wakiendelea kutoa huduma ya  upimaji sukari bure
 wanafunzi waliouthuria siku hiyo ya kuamasisha sensa
 wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kupima sukari jijini Arusha katika hospitali ya AICC
 Diwani wa kata ya kaloleni akiwa anachangia mada katika siku hiyo ya kuamasisha sensa  hiyo 

kaka Ramathan Mvungi akiwa na mpiganaji kilembu akiwa anamfanyia mahojiano mwanafunzi ambaye ni mwenyekiti  Hassan Omary ambao ambaye aliaanda semina ya kuamasisha sensa
wafanyabiashara wakifanya biashara ya machungwa

Post a Comment

0 Comments