MAUAJI YA KUTISHA AFRIKA KUSINI -WACHIMBA MADINI WALIGOMA KUFANYA KAZI NA KUANZISHA FUJO POLISI WAKATUMIA RISASI ZA MOTO NA KUUA WATU ZAIDI YA 30

Unaweza ukasema ni movie ya SARAFINA au la ...
Unaweza usiamini jinsi Polisi walivyowapiga Wafanyakazi kwa risasi mimi niliona kwenye Tv nikigemea walikuwa wakipiga risasi za bandia na wale wote waliokuwa mbele kutaka kuwashambulia polisi walikuwa wakidondoka kama vile farasi zikigongana niliposikiliza baadaye Watu 30 wapoteza maisha INATISHA

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post