MATUKIO TOFAUTI ARUSHA

 muonekano wa barabara ya Anex arusha mara baada ya kuwekwa lami
 Bara bara ya bondeni iliyopo katikati ya jiji la Arusha ikiwa imemwagwa vifusi vya udongo kwa ajili ya matengenezo ya kuweka lami
Wauza viatu wakiwa wamepanga viatu pembezoni mwa barabara kuu ya kuelekea standi ya mkoa jijini Arusha

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post