WAJUMBE WA TUME YA KATIBA WAANZA TATHIMINI YA KAZI YA UKUSANYAJI MAONI
WajumbewaSekretarietiyaTumeyaMabadilikoyaKatiba,
MwantumuMalale (kulia), Maria Kashonda (aliyekaa), RizikiNgwali
(wapilikulia),
Joseph Butiku (watatukulia) naYahyaMsulwa watatukushoto) wakitazama
namna sauti zenye maoni ya wananchi zinavyopokelewa katika Makao Makuu
ya Tume Jijini
Dar es Salaam kutoka katika mikutano inayoitishwa na Tume ya Mabadiliko
ya Katiba katika Mikoa mbalimbali nchini wakati waziara ya wajumbe hao
leo jumatano tarehe
3. Oktoba, 2012. Kushotoni Mjumbe wa Sekretarieti yaTumehiyo,
Hanifa Masaningana (wapilikushoto) ni KatibuwaTume, Assaa Rashid.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia