WAJUMBE WA TUME YA KATIBA WAANZA TATHIMINI YA KAZI YA UKUSANYAJI MAONI




WajumbewaSekretarietiyaTumeyaMabadilikoyaKatiba, MwantumuMalale (kulia), Maria Kashonda (aliyekaa), RizikiNgwali (wapilikulia), Joseph Butiku (watatukulia) naYahyaMsulwa watatukushoto) wakitazama namna sauti zenye maoni ya wananchi zinavyopokelewa katika Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam kutoka katika mikutano inayoitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika Mikoa mbalimbali nchini wakati waziara ya wajumbe hao leo jumatano tarehe 3. Oktoba, 2012. Kushotoni Mjumbe wa Sekretarieti yaTumehiyo, Hanifa Masaningana (wapilikushoto) ni KatibuwaTume, Assaa Rashid.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia