Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiendelea kuchangisha kwenye harambee hiyo.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa
akipongezwa na baadhi ya Masheikh wa Wilaya ya Mwanga,Mkoani Kilimanjaro
mara baada ya kuongoza harambee hiyo ya kuchangisha fedha za ujenzi wa
shule ya sekondari ya kiislam ya Lambo huko Mwanga mkoani Kilimanjaro.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
RELATED POSTS
0
Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia