BREAKING NEWS

Wednesday, April 2, 2014

SIKUKUU YA PASAKA APATOSHI ARUSHA MASHUJAA BAND KUNOGESHA USIPIME

 BENDI  mpya inayotamba kwa sasa hapa nchini na ambayo imechukuwa tuzo mbalimbali za muziki hapa nchini (MASHUJAA BAND)inatarajia kutua jijini Arusha  kuwapagawisha wa kazi wa jiji hili la vitongoji vyake  april 20 mwaka huu ambao ni usiku wa pasaka    katika ukumbi wa Trilpe A uliopo jijini hapa

  viingilio vya onyesho hili la mashujaa BAND litakuwa  10000 kwa kila mmno ambapo bendi hii itapiga mziki mpaka liamba  usikoseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates