WAALIMU WA SEKONDARI WARIPOTI KAZINI JIJINI ARUSHA
Posted by
woinde
on
Friday, April 04, 2014
in
Habari
MATUKIO
|
|
Ukumbi wa Mikutano JIJI LA ARUSHA |
|
Waalimu walioripoti kazini wakisubiri kufundwa na Afisa Utumishi wa JIJI LA ARUSHA |
|
Waalimu walioripoti kazini wakisubiri maelekezo toka kwa Afisa Utumishi wa JIJI LA ARUSHA |
|
Waalimu walioripoti kazini wakiwajulisha ndugu, jamaa na marafiki wamepangiwa JIJI LA ARUSHA |
|
Kwenye vitu vizuri sikosekanagi nikiwa ndani ya Ukumbi wa Mikutano nikisubiri kufundwa na Afisa Utumishi wa JIJI LA ARUSHA |
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia