WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII ATEMBELEA BANDA LA TANZANIA KATIKA MAONYESHO YA UTALII YA WTM YANAYOFANYIKA JIJINI LONDON UINGEREZA
Waziri
Balozi Kagasheki amesifushiriki wa makampuni ya Tanzania katika
maonyesho hayo lakini amesisitiza kwamba makampuni hayo yaongeze juhudi
za kutangaza utalii wa Tanzania mpaka kufikisha lengo la idadi ya
watalii milioni moja kila mwaka, ameongeza kwamba kuna haja ya kuongeza
vitanda zaidi nchini Tanzania ili kuongeza idadi ya watalii
watakaotembelea katika mbuga zetu na kufanya utalii kuka zaidi,
Maonyesho hayo yatazinduliwa rasmi kesho.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia