BREAKING NEWS

Friday, April 4, 2014

BETHIDEI YA MSANII LADY GAGA YAACHA HISTORIA DUNIA NZIMA


Lady Gaga 1

Mwanamuziki wa pop asiyehishiwa  vituko kila kukicha, Lady gaga ametoa mpya baada ya kuvaa nguo iliyomuacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake kiasi kwamba unaweza ukaona kila kitu alichovaa kwa ndani wakati  akisherehekea  siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 28  iliyofanyika katika ukumbi wa ‘Roseland Ballroom’ New York Marekani 

”Asanteni sana kwa kujumuika na mimi kwenye bethidei yangu, nilipoamka asubuhi nilikuwa na furaha. Nilikuwa nahamu ya kuwepo hapa usiku huu. Nina marafiki wengi hapa..mashabiki wengi na nimekulia kwa miaka sita” alisema Gaga
Lady Gaga


Lady Gaga

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates