Rais Jakaya Kikwete akiongea na baadhi ya waalikwa waliouthuria hafla ya chakula cha usiku iliyofanyika katika hoteli ya kitalii ya ngurudoto
washiriki wakati wa uzinfuzi wa AfDB
Kikundi cha ngoma cha THT kikishirikiana na Wanner stax wakisherehesha wakati wa hafla hiyo ya chakula cha usiku
Waalikwa na wahudumu wakiwa wanampa mkono muheshimiwa Rais
kilimanjaro Band nao hawakuwa nyuma kutoa burudani
1 Comments
Asante kwa taarifa na habari mbalimbali kutoka Kanda ya Kaskazini!
ReplyDeleteunashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia