Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela kushoto akiwa na mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo waki jadili jambo kuhusiana na mkoa wao wanaouongoza
Mdada wa libeneke la kaskazini blog woinde shizza akiwa na mtangazaji wa Stax Tv Fatuma katika moja ya kazi ambao walikutana
mdada libeneke akishow love na mkurugenzi wa asilia yetu blog alipowatembelea ofisini kwao jijini Arusha
mkurugenzi wa wazalendo 25 blog akiwa na mdada wa libeneke walipokutana hivi karibuni chaooooooooooooooooooo
katika pita pita za mwanadada walibeneke apa alikuwa anajiweka uso wake vyema apa ni kwa mwanamitindo wako Raphael anaepatikana maeneo ya standi ndogo ya vibasi (daladala) kaka huyu ni maarufu sana kwa kubandika kope,kuchora wanja wa piko ,kutinda nyusi, kubondi mawivngi ikiwepo lesi wigi, kushonea ma wivingi pamoja na wale wa kuchora tatu kaka uyu anapatikana kwa namba za simu hizi 0714097539
waandishi wa habari katika kati ni Joseph Ngilisho wa Zanzibar leo ,kushoto ni Jane Edwad wa Tv One pamoja na mdada wa Libeneke wakibaidilishana mawazo nje ya jengo makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki