TIMU BIGWA SAFARI POOL 2012 KAYUMBA KLABU YAPOKELEWA KWA SHANGWE JIJINI DAR

 Mabingwa wa Safari Pool Taifa 2012, Kayumba Klabu wakishangilia na Kikombe mara baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam
 Mabingwa wa Safari Pool Taifa 2012, Kayumba Klabuwakishangilia na Kikombe kwenye gari la wazi mara baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam
 Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo Taifa, Henry Lihaya akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza Mabingwa Klabu ya Kayumba iliyofanyika Nyantare Tabata jijini Dar es Salaam.
Mabingwa wa Safari Pool 2012, Kayumba Klabu wakiwa kwenye picha ya pamoja na mgeni rasmi,Meneja wa Bia ya Safari Lager na baadhi ya viongozi wakati wa hafla hiyo.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia