Habari
zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema watu 65 wamenusurika kufa
eneo la Segera Mkoani Tanga baada ya basi la Dar Express lililokuwa
likitokea Arusha kwenda Dar Es Salaam kuteketezwa na Moto
Basi la Da Express likiteketea kwa moto.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia