YANGA KUUMANA NA TOTO AFRIKA UWANJA WA KIRUMBA KECHO
kikosi cha timu ya yanga katika picha
KIKOSI kizima cha timu ya yanga leo kimetua jijini mwanza kwa ajili ya kuendelea na mechi zake za ligi kuu ya vodacom na kesho kinatarajiwa kuingia katika kiwanja cha CCM kirumba kuchuana vikali na wenyeji wao wa mkoani ambapo ni timu ya Toto Afrika
kikosi cha Toto Afrika


0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia