TUNALALAMIKA HATUONI MVUA LAKINI NDO WA KWANZA KUKATA MITI
Wantanzani kwa hali hiiya kuza mikaa hivi kweli ukame utaisha hawa wafanya biashara walikutwa na kibeneke la kaskazini shinyanga shinyanga wakipeleka mkaa kuuza na sio hawa tu walikuwepo kama hamsini sasa sijui askari wa maliasili wapo wapi na je serekaliinatambua kuwa kunawatu wanaendelea kumaliza miti kwa kuchoma mikaa
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia